Thursday, August 14, 2008

Wafanyakazi wa ndani

Wafanyakazi wa ndani ni watu muhimu sana katika familia zetu. Hushughulika na kupika, kufua, na unakuta ndie anabaki na mtoto ikiwa baba na mama wanafanyakazi. Ni vizuri tukawaheshimu na kuwafanya kuwa ni sehemu ya familia yetu.

Familia zinatofautiana, zipo familia zinaaowaona wafanyakazi wa ndani kama watumishi. Kwa upande wangu ninalaani kitendo hicho. Tuwape haki. Si kuwatumikisha bila kuwapa ajira yao. Walipwe kulingana na makubaliano walioekeana baina yao. Wakati mwingine wafanyakazi wa ndani huwa ndio wa mwisho kula na hata kulala. Wao ni binadamu kama wengine huwa wanachoka na wanahitaji muda wa kupumzika.

Swali: Je hayo yanatokea kwenye familia zetu.
Ni nini kifanyike?

ENVIRONMENTAL ISSUES

Environment is life. If we destroy our environment, it means that we are threatening our life. We need to use environment in a sustainable way. Youths are engaged in small businesses such as farming, producing charcoal and carpentry. Most of these activities have a great chance to degrade the environment if they won’t be watchful.

Youth Forum held in Dar es Salaam at the University of Dar es Salaam collected student from different part of the world to exchange ideas and knowledge. It is obvious that most people including youth are engaging in different activities to fulfill their needs in the informal sector which provide them employment.

Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Labor, Employment and Youth Development Edne Mangesho said that natural resources could help in solving the unemployment problem of youths through agriculture, fishing and minerals and thereby reduce the threat to the environment.

I agree with her to some extent. But how many youth are able to access minerals available in the county like Tanzania? Are there any law or policies which favor citizens? We always hear some people are killed by rich people who own mineral in area like Mererani. Some killings are bad because some people were killed just because they were crossing in someone area used for mining. So how youth are benefiting in mineral resources?